Habari Za Un
Mizozo inayoendelea duniani, uchumi Afrika vyatawala siku ya mwisho ya mjadala mkuu
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:03:03
- More information
Informações:
Synopsis
Viongozi wa mataifa ya nchi wanachama 16 waliopanda kwenye mimbari ya ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo Jumatatu ya tarehe 29 Septemba 2025 ambayo ndio ukomo wa Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, (UNGA80) wamepaza sauti zao kuhusu masuala mbalimbali yanayokumba dunia hivi sasa ikiwemo vita Gaza, na hali ya kiuchumi Afrika.