Habari Za Un
Lazima tutambue mchango wa wazee katika kuunda jamii zenye haki - UN
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:03:07
- More information
Informações:
Synopsis
Tuanzie hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambako kumefanyika tukio maalum la kuadhimisha siku ya wazee duniani leo Oktoba Mosi, kaulimbiu ikiwa Wazee Wanaendesha Hatua za Kijamii na Kimaisha: Matamanio Yetu, Ustawi Wetu na Haki Zetu. Anayekupeleka ukumbini ni Flora Nducha.