Habari Za Un
Ndoto ya Sahar ya kushamiri kimaisha yatwamishwa na mashambulizi ya Israeli Gaza
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:02:03
- More information
Informações:
Synopsis
Harakati za kila uchao kwa raia wa Gaza huko eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli za kukimbilia chakula huku mashambulizi yakiendelea zimeendelea kusababisha vifo na majeruhi ambapo majeruhi wa hivi karibuni aliyetajwa ni Sahar, mtoto mwenye umri wa miaka 14 aliyepata ulemavu akikimbilia kupokea msaada wa chakula. Ripoti ya Selina Jerobon inayotokana na video iliyochapishwa mtandao wa X na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipaletina, UNRWA, inafafanua zaidi.