Habari Za Un

UN yarejelea wito wa kutaka kuachiliwa huru kwa mateka wa Israeli huko Gaza

Informações:

Synopsis

Ikiwa ni siku 668 tangu Hamas ambao ni wanamgambo wa kipalestina wateke waisraeli 250 baada ya kushambulia taifa hilo la Mashariki ya Kati, vuta nikuvute ilikuwa bayana kwenye Baraza la Usalama baada ya kikao cha dharura kuitishwa na Israeli kufuatia kuchapishwa kwa picha za mateka wawili walio hoi bin taaban. Anold Kayanda na tarifa zaidi.