Habari Za Un

OHCHR: Israel isitishe mara moja mpango wa kulitwaa kijeshi eneo lote la Gaza

Informações:

Synopsis

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo, ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mpango wa Serikali ya Israel  kutwaa kijeshi ukanda wote wa Gaza unaokaliwa kimabavu. Anold Kayanda na maelezo zaidi.