Habari Rfi-ki
Uganda : Ombi la Msamaha wa rais Museveni ni la kweli
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:56
- More information
Informações:
Synopsis
Leo shaba yetu inalenga taifa la Uganda ambapo rais Yoweri #Museveni pamoja na mkewe wameomba raia wa nchi hiyo msamaha kwa mabaya yote ambayo serikali yao imetekeleza kwa miaka 39. Je, unafikiri kauli ya Rais Museveni na Mama Janet kuomba msamaha ni ya kweli au ni ya kisiasa?Skiza maoni ya mskilizaji wetu.