Habari Za Un
WFP yaongeza usambazaji wa chakula nchini Sudan japo hali bado tete
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:50
- More information
Informações:
Synopsis
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) tayari limeanza usambazaji wa chakula katika maeneo mbalimbali ya Sudan ambako watu wanakabiliwa na jaa huku wengine wakilazimika kuhama kambi moja hadi nyingine. Anold Kayanda na taarifa zaidi.