Habari Za Un
Mtoto aliyebakwa na kutiwa ujauzito DRC asema "siko tayari kuwa mama"
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:01:58
- More information
Informações:
Synopsis
Mtoto mmoja alibakwa katika kila nusu saa huko Mashariki mwa Jamhuri ya ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati mapigano yaliposhika kasi mwanzoni mwa mwaka huu kati ya jeshi la serikali FARDC na waasi wa M23, katikati ya ufadhili finyu wa kifedha, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF. Anold Kayanda na maelezo zaidi.