Sbs Swahili - Sbs Swahili

  • Author: Vários
  • Narrator: Vários
  • Publisher: Podcast
  • Duration: 104:55:19
  • More information

Informações:

Synopsis

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

Episodes

  • Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

    11/04/2025 Duration: 05min

    Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.

  • SBS Learn Eng pod 68 Kujadili taarifa za habari

    11/04/2025 Duration: 16min

    Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu taarifa za habari?

  • Sean MMG "mitandao yaki jamii imefanya iwe rahisi kwa vijana kama sisi kutokea katika muziki"

    10/04/2025 Duration: 07min

    Wasanii maarufu kutoka Kenya; Sean MMG, Ssaru na Tipsy Gee walitembelea studio yet hivi karibuni wakati wa ziara yao ya Australia.

  • Taarifa ya Habari 8 Aprili 2025

    08/04/2025 Duration: 16min

    Serikali ya Albanese imesema uwekezaji wa serikali wa $1 bilioni moja inatambua pengo muhimu la wafanyakazi katika huduma ya afya ya akili inayo stahili fanyiwa kazi.

  • Uchaguzi Mkuu 2025: Dutton afuta sera yakumaliza mpangilio wakufanyia kazi nyumbani

    08/04/2025 Duration: 09min

    Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton, ame tupa nje mpango wake waku walazimisha wafanyakazi wa umma kurejea ofisini aki kiri sera hiyo ilikuwa kosa.

  • Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025

    08/04/2025 Duration: 06min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tangazwa mwaka jana na jinsi hali hiyo ina wa athiri wa Australia.

  • Australia Yafafanuliwa: Jinsi yakupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

    04/04/2025 Duration: 12min

    Wa Australia milioni kumi na nane wame sajiliwa kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho mwezi ujao.

  • Taarifa ya Habari 4 Aprili 2025

    04/04/2025 Duration: 15min

    Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amerudia sera yake muhimu ya uchaguzi yaku wasilisha matibabu ya meno bure kwa mfumo wa Medicare, akisema wa Australia wanalipa hela nyingi sana kwa huduma muhimu ya afya.

  • M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

    04/04/2025 Duration: 05min

    Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.

  • Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025

    03/04/2025 Duration: 05min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ita toa dola milioni 50, kwa sekta zitakazo athiriwa kwa tangazo jipya la ushuru kutoka Marekani.

  • The legal loophole allowing political lies during elections - Mwanya wa kisheria unao ruhusu uongo wakisiasa wakati wa uchaguzi

    03/04/2025 Duration: 07min

    With an election date set for May 3rd, campaigning has officially begun. But political advertisements have already been circulating for months. Can you trust what they say? - Baada ya tarehe ya uchaguzi kutangazwa kuwa 3 Mei, kampeni zime anza rasmi. Ila matangazo ya kisiasa yame kuwa yaku sambazwa kwa miezi kadhaa. Je, unaweza amani wanavyo sema?

  • Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

    03/04/2025 Duration: 08min

    Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.

  • Swahili Taarifa ya Habari 1 Aprili 2025

    01/04/2025 Duration: 19min

    Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.

  • SBS Learn Eng Pod Ep 81 Kuzungumza kuhusu uchaguzi

    01/04/2025 Duration: 14min

    Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu uchaguzi katika Kiingereza?

  • Taarifa ya Habari 31 Machi 2025

    31/03/2025 Duration: 05min

    Wa Islamu nchini Australia na duniani kote, wana sherehekea Eid al-Fitr baada ya mwezi mtukufu wa Ramadan kumalizika.

  • What’s Australia really like for migrants with disability? - Australia ikoje kwa wahamiaji wenye ulemavu?

    31/03/2025 Duration: 07min

    Disability advocates and experts say cultural stigma and migration laws leave migrants living with disability further excluded and marginalised. - Watetezi wa ulemavu na wataalam, wanasema unyanyapaa wa kitamaduni na sheria za uhamiaji, huwaacha wahamiaji wanao ishi na ulemavu wakiwa wame tengwa zaidi.

  • Uchaguzi wa shirikisho wa Australia kufanywa 3 Mei 2025

    28/03/2025 Duration: 06min

    Tarehe ya uchaguzi wa shirikisho wa 2025 ime tangazwa. Tangazo hilo lina maana gani? Na unastahili fanya nini sasa?

  • Taarifa ya Habari 28 Machi 2025

    28/03/2025 Duration: 18min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese ametangaza kuwa tarehe ya uchaguzi mkuu itakuwa 3 Mei 2025. Bw Albanese ali muarifu Gavana Mkuu Samantha Mostyn, nia yake yaku itisha uchaguzi mkuu mapena leo asubuhi.

  • Wapatanishi wa EAC na SADC waongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa DRC

    28/03/2025 Duration: 06min

    Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya SADC, wameongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa mashariki mwa nchi ya DRC.

  • Taarifa ya Habari 27 Machi 2025

    27/03/2025 Duration: 06min

    Msemaji wa maswala ya hazina katika Upinzani amethibitisha kuwa Upinzani wa Mseto, utafuta makato ya ushuru ya Labor, upinzani ukishinda uchaguzi mkuu.

page 2 from 26