Jukwaa La Michezo
WAFCON: Michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya Afrika ipo raundi ya mwisho
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:23:51
- More information
Informações:
Synopsis
Tuliyokuandalia leo ni pamoja na waamuzi watatu nchini Rwanda kusimamishwa kwa muda, Kongamano la nne la Kibiashara la Soka lakamilika nchini Kenya, awamu ya mwisho ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada, tuzo za CAF mwaka huu, mechi za kufuzu hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika, mkenya Ruth Chepngetich apigwa marufuku ya miaka mitatu, bingwa wa dunia wa MotoGP Marquez kukosa msimu mzima uliosalia na nusu fainali ya tenisi Vienna Open