Siha Njema

Watalaam waonya kukaa muda mwingi kunaweza kukusababishia kifo cha mapema

Informações:

Synopsis

Kukaa kwa zaidi ya saa sita mfululizi kila siku inaweza kukuweka kwenye hatari ya kupata magonjwa ya uti wa mgongo,kisukari,shinikizo la damu na kifo cha mapema