Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Mradi wa EACOP umekamilika asilimia 62, wanaharakati wakiendelea kuupinga

Informações:

Synopsis

Ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda kwenda Tanzania maarufu EACOP umefikia asilimia 62, hivi majuzi raia 26 wa Uganda ambao ni waathriwa wa miradi ya mafuta ya Total ya Tilenga na EACOP wamewasilisha keshi mpya dhidi ya kamuni ya TotalEnergies nchini Ufaransa,