Jukwaa La Michezo

CAF: Kipute cha Kombe la Mataifa ya Wanawake 2025 yaanza nchini Morocco

Informações:

Synopsis

Leo tumeangazia kuanza kwa mashindano ya kombe la mataifa ya kina dada nchini Morocco, Kenya mashindano ya soka ya ufukweni ukanda wa Cecafa, uchaguzi katika shirikisho wa soka Tanzania na Uganda na uhamisho wa makocha Gamondi na Ibenge katika ligi ya Tanzania, FIFA imeteua viongozi wapya katika kamati ya mpito ya soka nchini DRC, nyota wa Liverpool Diogo Jota na kakake wazikwa, Thomas Partey ashtakiwa na kesi za ubakaji na matokeo ya Kombe la Dunia la Vilabu, Euro ya wanawake na Wimbledon.