Wimbi La Siasa
Kwanini vijana wa Gen Z wanaendelea na maandamano nchini Kenya ?
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:29
- More information
Informações:
Synopsis
Vijana nchini Kenya maarufu kama Gen Z, wameendelea kuandamana dhidi ya serikali ya rais William Ruto. Maandamano haya yameishia kwenye maafa na majeruhi tangu mwezi Juni mwaka 2024. Tunaungana na wanafunzi wa chuo cha ufundi cha NIBS kilichopo Ruiru, kusikia kutoka kwao. Kwanini wanaandamana ?