Wimbi La Siasa
Rwanda na DRC zawasilisha mapendekezo kuhusu mkataba wa amani
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:10:23
- More information
Informações:
Synopsis
Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimewasilisha mapendekezo ya rasimu ya mkataba wa amani kwa Marekani, kujaribu kutafuta mzozo wa Mashariki mwa DRC. Nchi hizo mbili zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kudumu mwezi Juni, jijini Washington. Harakati hizi, zitazaa matunda ?